Wednesday, June 27, 2012

BAADA YA ZAIDI YA MIAKA 25 MCHEZAJI MKONGWE KASSIM MANARA(MJOMBA) ADEKA KWA MAMA YAKE




Kassim Manara (Mjomba) akideka kwa mama yake mzazi baada ya kutokuonana kwa zaidi ya miaka 25.

 Manara ndio mchezaji pekee wa Tanzania aliewahi kuchezea timu kubwa zaidi duniani. Katika maisha yake amewahi kuchezea  timu ya Borussia Dortmund ya ujerumani.




Mjomba Manara akiwa na wajukuu na vitukuu ambao walimtia machoni kwa mara ya kwanza tangu kuzaliwa kwao.



Mjomba Kassim Manara akiwa na dada zake pamoja na mama mzazi



Manara akiwa na vijana wake wa mtaani maeneo ya Temeke jijini Dar 

Kwa niaba ya Dj Max Entertainments and the crew tunamuombea maisha marefu na yenye afya bw. Kassim Manara almaarufu kama Mjomba. Pia mungu amzidishie moyo wa imani alionao.

Kwa kifupi tu ni kwamba jina la mjomba amepewa na vijana wa kitanzania anaoishi nao majuu kutokana na misaada na michango yake mbalimbali ya hali na mali. Pia ukarimu wake na urafiki, heshima aliyonayo kwa wakubwa na wadogo na ukaribu alionao pia imechangia



Tuesday, June 19, 2012

MADARAKA DAY NÜRNBERG ILIBAMBA MBAYA




 


Baadhi ya watu waliokuwa ukumbini wakibanjuka






Dj Rama na Dj Mukada wakiongoza Mashambulizi





Masharobaro wa kipopo (mashemeji) nao walikuwepo




Wazee wa vitambi nao ndani




Warembo full kujiachia




Pozi la usingizi









Saturday, June 16, 2012

BAADA YA KIMYA CHA MUDA MFUPI DJ RAMA AFUNGUKA


LEO MAMBO DOLE TUPU


Unapoizungumzia safu ya ma Dj machachari nchini ujerumani bila shaka hautamaliza kauli yako bila ya kutaja jina Rama (The best Dj), espescially when you talk about Munich na Bayern kwa ujumla.

Baada ya kuwa kimya kwa muda kidogo, leo amefunguka na kutamka waziwazi kwa mashabiki zake kuwa amewaandalia ngoma za kufa mtu usiku wa leo. Ameweka wazi kuwa watarajie burudani ya aina yake kutoka kwake amerudi na masongi mapya kibao ambayo hayana hata idadi.

Dj Rama anatarajiwa kufanya makamuzi leo usiku katika jiji la Nurberg pembeni kidogo ya mji wa Munich katika jimbo la Bayern. Ambapo Dj Max Entertainments imeandaa sherehe za Madaraka Day. Shuguli hiyo itafanyika pale maeneo ya Club Festac 77, Zufuhrstr 20. Kwa dada Jeniffer.

Bila kusahau utambulisho wa Dj Lady kiarie na Dj Mukada huku Mdogo wao wa mwisho Dj Max nikiwasindikiza. Burudani hizi zote utazipata kwa dau la kiingilio cha 5€ pekee.

KILA MMOJA AMEKARIBISHWA

Friday, June 15, 2012


TUNAHESABU MASAA TU SASA
ATAKAE KOSA TUNAMCHEKAAAAAA


After some hours Nurnberg will be Booooom!!!!!
Its not today, i mean kesho,
Saturday 16th June 2012



Wednesday, June 13, 2012

DOGO JANJA APIGWA CHINI TIP TOP



Msanii kinda kwenye kundi la Tip Top lenye maskani yake mitaa ya Manzese jijini Dar es salaam, Abdul Abubakar Chende "Dogo janja". Amejikuta akifungashiwa virago vyake na kutengwa na kundi hilo kutokana na tabia za utovu wa nidhamu na kuendekeza starehe, kikubwa akiwa ni tabia yake ya kukataa kwenda shule.
  
  Hayo yalielezwa na kiongozi wa kundi hilo bwana Hamad Ally "Madee" alipopiga stori na teentz. Kwa niaba ya wapenda maendeleo nampa shavu madee kwa kujaribu kumuendeleza dogo huyo kielimu kwa kumsihi aende shule mara kwa mara lakini bahati mbaya bwana mdogo kalewa umaarufu.

Monday, June 4, 2012

FREISING AFRIKA-FESTIVAL

Just try to be in Africa even if you are Far away from Africa (HOME SWEET HOME)
come and enjoy African food and drinks, African Market, Live Music, African Model show, African wear and a lot of informations about African Safaris and tourism.


Dont forget the nice World wild Music from
 Dj Max and Dj Paps

LIVE FOOTBALL MACH ON THE BIG SCREEN
DEUTSCHLAND - PORTUGAL

Friday, June 1, 2012

HAPPY MADARAKA DAY

UMOJA, UPENDO NA MSHIKAMANO



June 1. Madaraka Day (Self-Rule Day) is observed as a national public holiday. Commemorates attainment of self-government in 1963. Kenya was enable for self-ruling. It be became a fully endependent country on December 12 of the same year.   

Madaraka is the first national holiday of Kenya, and Kenyan’s gather together for celebration, food, song and dance. Some people plant trees in honor of the day, and everyone remembers the heroes who fought and died for the country’s independence
In honor of Madaraka Day here are some facts to know about  
                         
 Some of the oldest known palaeontological records of the history of mankind on earth have been found in Kenya.
- The most popular sports in Kenya are cricket, track and field, box, soccer, volleyball, rugby, tennis and field hockey.
- The ethnic groups in Kenya include Kikuyu, Luhya, Luo, Kalenjin, Kamba Kisii, Meru and other Africans and non-Africans.
                                  
                  TUNAJIVUNIA KUWA WAKENYA