Friday, December 28, 2012

HAPPY BIRTHDAY TO GOSSIP COP, MHARIRI MKUU WA GAZETI LA MAKOROKOCHO "SUDI BROWN"







Kwa wale wasikilizaji wa the people station Clouds fm na ambao ni mashabki wa kipindi cha XXL bila shaka huwa wanasikia au kusikiliza jinsi team makorokocho kupitia gazeti lake la Makorokocho likiwa linawasilisha tetesi za mtaani kila siku mida ya mchana kwenye kipindi hicho.

 Kwa niaba ya The Dj Max Entertainments na wapenda burudani wote bila ya kusahau mashabiki wa clouds fm tunampongeza Producer Soud Brown kwa kutimiza miaka kadhaa siku ya leo. Tunamuombea maisha marefu na yenye baraka. Pia tunamuombea Mungu amjaalie kizazi apate watoto wengi sana ili kufanikisha kujaza dunia "Samahani lakini" si kwa ubaya!!!!!

          YOU HEARD???????

Thursday, December 20, 2012

BREAKING NEWS!!!! Q CHIEF ATANGAZA RASMI KUACHANA NA MADAWA YA KULEVYA NA KUWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE NA KUTOA NGOMA MPYA





Kama wewe ni shabiki wa muziki wa kizazi kipya ndani ya Afrika Mashariki bila shaka jina Q-chillah wala haliwezi kuwa geni masikioni mwako. Mwanamuziki huyu kutoka jiji Da es Salaam Tanzania, leo amekiri ndani ya kipindi cha xxl cha Clouds Radio alipokuwa akipiga stori na Adam Mchomvu "BABA JONII"  kuwa alikuwa akitumia dawa za kulevya kwa takriban miaka miwili na kwa sasa ameacha kutumia kwa zaidi ya miezi saba.

Ingawa hakuweka wazi ni dawa zipi alikuwa akizitumia na kwa njia zipi lakini alisema kwa sauti ya kusikitisha kuwa "kaka we acha tu nimepitia mengi". Pia alikuwa akikataa kujibu baadhi ya maswali kwa kile alichokieleza kuwa akiongelea swala hilo linamletea kumbukumbu mbaya ambazo hapendi kuzikumbuka kwa sasa.

Pia alichukua nafasi hiyo kuwaomba msamaha mashabiki wake, ndugu jamaa na marafiki endapo alikuwa amewakosea kwa tabia hiyo aliyokuwa nayo kipindi hicho. Alisisitiza kuwa amefanya maamuzi ya kuacha uteja kwa ajili ya watoto wake na wazazi wake pia, kwani anaamini kuwa aliwaumiza sana.

HONGERA SANA CHILLAH

VIDEO NYINGINE MPYA KUTOKA KWA DIAMOND PLATNUMZ INAITWA KESHO

Sunday, December 16, 2012

NEW VIDEO "ANOTHER CHANCE" BY BOBBY ST ft DERRICK WALUUBE

BREAKING NEWS!!!!! FC SCHALKE 04 WAFUKUZA MAKOCHA




Baada ya kutofanya vizuri kwenye ligi kuu ya soka nchini Ujerumani Bundesliga, uongozi wa timu ya Fc Schalke 04 umekatisha mkataba rasmi leo kwa njia ya amani na makubaliano na aliyekuwa kocha wa timu hiyo bwana Huub Steven. Uamuzi huo ni kufuatia timu hiyo kutopata ushindi katika michezo 7 mfulizo ya Bundesliga. Pia wamemtimua kocha msadizi na kwa sasa nafasi ya ukocha inashikiliwa na aliyekuwa kocha wa timu ya watoto chini ya umri wa miaka 17 wa timu hiyo.



THE NEW AFRICAN SONG MEKXO FT MARLAW "NWA BABY"

GERMAN SUPER TALENT AND THE WINNER IS.......!


                                        JEAN-MICHEL AWEH

German Super Talent 2012



A congoleese man Christian Bakotessa from Ngoma Africa Band (Bremen Germany) on the second place in German Super Talent 2012