Thursday, September 26, 2013
MATOKEO YA ROUND YA PILI YA DFB-POKAL, BAYERN ASHINDA KAMA KAWA
Katika round ya pili ya DFB-Pokal (kombe la Ujerumani) hazijtakoea maajabu. Timu zote za Erste Bundesliga (daraja la kwanza) zilizocheza na timu za daraja la chini zilishinda. Katika mechi zote mbinu ni kwamba anayefungwa anatoka moja kwa moja kwa hiyo mechi zote ni kama fainali.Dortmund na Hoffenheim walipata taabu kidogo, imebidi waongezewe muda ili wachukue ushindi.
Wednesday, September 18, 2013
BAYERN WALIPOFUNGA ZSKA MOSKAU KATIKA MECHI YAO YA KWANZA YA CHAMPIONS LEAGUE MSIMU HUU
David Alaba akishangilia kufunga goli la kwanza kwa timu ya Nyota ya Kusini FC Bayern München.
Kocha mpya Pep Guardiola akiwaelekeza wachezaji wake jinsi ya kucheza.
Matokeo:
FC BAYERN MÜNCHEN 3:0 ZSKA MOSKAU
Subscribe to:
Posts (Atom)