Tuesday, April 30, 2013
Thursday, April 25, 2013
Tuesday, April 23, 2013
BREAKING NEWS!!!!!!! MARIO GOTZE ATUA FC BAYERN MÜNCHEN KAMA ALIVYOPENDEKEZA GUARDIOLA
Mshambulia machachari raia wa ujerumani ambae alikuwa akikipiga ndani ya Borussia Dortmund, masaa kadhaa yaliyopita amemwaga wino kuthibitusha kuchezea ndani ya nyota nyekundu ya kusini mwa Ujerumani Fc Bayern München. Inaamini kuwa kifaa hicho ni mapendekezo ya kocha mpya anaetarajiwa kuanza kazi na Bayern msimu ujao Pep Guardiola, Amesema anakihitaji sana kifaa hicho kuongeza nguvu katika kikosi chake. Gotze ataanza rasmi kuitumikia Bayern msimu ujao huku akiwa amevitosa baadhi ya vilabu vya England kama Arsenal na Manchester United.
Mario Gotze ndani ya uzi wa Bayern
Sunday, April 21, 2013
OMMY DIMPOZ ATUA OSLO READY FOR THE SHOW!!!
Camera ya Dj Max ilimnasa Dimpoz akiwa kwenye poz na mwenyeji wake Dj Pred wa Norway:
Akitiririka wakati wa mahojiano nae, Dimpoz alifunguka kuwa kuna uwezekano wa kuongeza siku za ziara yake kutokana na maombi ya mashabiki na show kuongezeka. kwani katika ratiba yake hakukuwa na nchi kama Ujerumani lakini kutokana na maombi ya mashabiki Dimpoz anafikiria kubwaga show la nguvu ndani ya Bayern siku za hivi karibuni.
Mapoz yanaendelea:
Pia alisisitiza kuwa ana vitu muhimu vya kuwahi nyumbani kwahiyo hatoongeza muda mrefu sana, ikiwemo na kuhudhuria tuzo za muziki za Killi. "Naenda kuwafunika mwana, si unajua kuna tuzo zangu kadhaa na lazima nivunje record mwaka huu" alisema Dimpoz huku akitabasamu kuashiria kuwa anajiamini lakini katika hali ya utani.
Saturday, April 20, 2013
Tuesday, April 16, 2013
Monday, April 15, 2013
Friday, April 12, 2013
Sunday, April 7, 2013
Friday, April 5, 2013
Wednesday, April 3, 2013
WHITE PARTY IN NÜRNBERG ILIBAMBA KIAINA
So cute, pendeza sana
Kiustaarabu zaidi
All the way from England, BiG J
Kwaito la nguvu, nami nikajichanganya
Wamanga ndani!!!
Dj Max & Promota Malumbo
Watoto wa mjini mipango popote
Subscribe to:
Posts (Atom)