Saturday, December 21, 2013

BAYERN YACHUKUA KOMBE LA TANO MWAKA HUU!!!




Baada ya kuchukua triple yaani UEFA Champions League, DFB-Pokal na Deutsche Meisterschaft na pia European Supercup sasa FC Bayern München wameshinda pia Kombe la Dunia ya Maclub.

FC Bayern München vs Raja Casablanca
2:0




SIMBA YASHINDA YANGA 3:1


3:1
Simba line up: Ivo Mapunda, Haruna Shamte, Issa Rashid, Joseph Owino, Donald Musoti, Jonas Mkude, Haruna Chanongo, Henry Joseph, Amisi Tambwe, Said Hamis na Awadh Juma
Yanga line up: Juma Kaseja, Mbuyu Twite, David Luhende, Nadir Haroub, Kelvin Yondani, Athuman Idd , Mrisho Ngassa, Frank Domayo, Didier Kavumbagu, Hamis Kiiza, Haruna Niyonzima

Wafungaji:
Dakika ya 13: Amissi Tambwe (Simba)
Dakika ya 44:
Amissi Tambwe (kwa mkwaju wa penalti)
Dakika ya 64:
Awadh Juma (Simba)
Dakika ya 85: Emmanuel Okwi (Yanga)

DORTMUND NA LEVERKUSEN KUFUNGWA KATIKA MECHI YAO YA MWISHO KABLA YA WINTERPAUSE





Wednesday, December 18, 2013

FC BAYERN MÜNCHEN YAINGIA FAINALI YA CLUB WORLD CUP


Nusu fainali:

Guangzhou Evergrande FC vs Bayern München

0:3

Magoli:  
Ribery (40.)
Mandzukic (44.)
Götze (47.)


Mechi ya leo:

Raja Casablanca vs Atletico Mineiro

3:1


Wednesday, December 11, 2013

TIMU ZOTE ZILIZOINGIA LAST SIXTEEN YA UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2013/2014

Group A:
Manchester United
Bayer 04 Leverkusen

Group B:
Real Madrid
Galatasaray Istanbul

Group C:
Paris St. Germain
Olympiakos Piräus

Group D:
FC Bayern München
Manchester City

Group E:
FC Chelsea
FC Schalke 04

Group F:
Borussia Dortmund
FC Arsenal

Group G:
Atletico Madrid
Zenit St. Petersburg

Group H:
FC Barcelona
AC Mailand

TIMU NNE ZA UJERUMANI ZAINGIA LAST SIXTEEN, HONGERA SCHALKE NA DORTMUND!

FC Schalke vs FC Basel
2:0




Marseille vs Borussia Dortmund
1:2